3.Bahari kutokana na vigao/pande za mshororo.
Mara ngapi mshororo umegawika twaweza kupata kundi/bahari kama:
i) utenzi
Kigao kimoja/mshororo usiogawika
1. .........................
.........................
.........................
2. .........................
.........................
..........................
ii) mathnawi
Vigao viwili kila mshororo.
1. ..........., .........
..........., .........
............, ........
2. ............, .........
............, .........
............, ..........
iii) Tumbuizo
Vigao vitatu kila mshororo
1. ..........., .........., .........
............, .........., ........
............, .........., ........
2. ............., .........., .........
.............., ........., .........
............, ......, .......
iv)ukawafi
Vigao vitatu lakini mizani chini ya ishirini na nne.
Comments
Post a Comment