TONI KATIKA USHAIRI
Toni ni hisia zinazopatikana/zinazojitokeza kutokana na uchaguzi wa maneno alioufanya mshairi ambazo zaweza kuwa chanya au hasi.
Hisia zikiwa chanya kama vile za furaha,humfanya mshairi kushukuru-toni ya shukrani,kusifu-toni ya kusifia,Toni ya kushajiisha au kupongeza hali au jambo Fulani linalomfurahisha.
Hisia zikiwa hasi kama vile za kudhulumiwa,kunyanyaswa,kudunishwa au kudharauliwa huwa zinampa mshairi Toni ya kulalamika,kuteta,kukejeli,kukaripia,kulaani,kusuta,kudunisha,kushauri,kuelekeza au kupuuza hali au jambo Fulani linalompa hisia hasi.
Maswali
Kutambua Toni katika ushairi mbalimbali.
1.
Comments
Post a Comment